Sunday, October 26, 2014

AMIR MSTAAFU KAALIKWA KUWA MGENI RASMI

Asalam alaykum Amir mstaafu Muhajili hussen akiambatana na Amir  wa habar Busazi. katika  Shule ya AIRWING HIGH SCHOOL gongo la mbuto jiji dsm shule hiyo ikimilikiwa na jeshi la tanzania. Amir wetu akiwa   kama mgeni rasm leo juma pili tarehe 26/10/2014. kama tunavyo ona hapa
   mlezi wa jumuiya ya wanafunzi rutini akitoa nasaha
 Mgeni rasmi muhajir hussen akijibu risala ilio somwa na moja ya wahitimu, kushoto Amir wa shule hiyo
 Amir wa habar mstaafu wa chuo cha utumishi magogoni Busazi hamisi  aki toa nasaha kwa wahitimu


 mgeni rasmi akitoa vyeti kwa moja ya wahitim


 mlezi aki watembeza wagen shuleni hapo
 mgeni rasmi akimkabidhi chet muhitimu wa kike
 Mgeni rasmi akijiandaa kuondoka

  







No comments:

Post a Comment

TMUSA POSTS